Kusaidia SchoolNet
Lengo la ScholNet Africa ni kusaidia SchoolNet za kitaifa kuweka sawa na kuhamashisha vyanzo. Wakati huo huo, SchoolNet za kitaifa zinasaidia SNA kwa kujiandikisha kama wanachamaa na kuwasaidia SNA kuhusu uzoefu na jinsi wanavyoweza kufanya kazi na kusaidia SchoolNet zingine katika Afrika.
Waanzilishi wa SchoolNet
Kenya SNA inafanya kazi na washiriki nchini Kenya kwenye udadisi wa mazingira na warsha kujadili maendeleo ya SchoolNet nchini humo. Kama ungependa kusaidia wasiliana na Lucy Kinjanjui kupitia barua pepe ifuatayo [email protected]
Malawi
SNA inafanya kazi na washirika wa Malawi ili kupata uwezo wa kompyuta ikishirikiana na computer Aid International. Kama unahamasika kusaidia tafadhali wasiliana na Bessie Nyindera kupitia [email protected]
Mali
SNA inafanya kazi na washirika wa Mali kuendeleza mpango wa biashara wa ScholNet katika kupata nyanzo na kuanzisha SchoolNets. SNA pia inasaidia mafunzo ya walimu nchini Mali. SNA imefanya kazi na SchoolNet Mali katika kuinua shughuli za Thinkquest Africa.
Msumbiji
SNA inafanya kazi na SchoolNet Msumbiji katika kukendeleza mpango wa biashara na kupata vyanzo vya kuanzisha mafunzo ya walimu
Sudan
SNA imewasiliana na washirika ambao wana nia ya kuanzisha SchoolNet Sudan. Mpango wa kibiashara bado unafanyiwa kazi.
Misaada ilivyo
SchoolNet Cameroon
SchoolNet Cameroon ni mshirika muhimu kitaifa katika SNA. SNA itasaidia kuanzishwa kwa shughuli za SchoolNet Cameroon
SchoolNet Nigeria
SNA ilishiriki kwenye uzinduzi wa SchoolNet Nigeria, September 2020. Toka hapo SNA inesaidia SchoolNet Nigeria kwenye kuendeleza mpango wa ThinkQuest. SNA inasaidia kampeni ya e-rate Nigeria na kampeni ya ufahamu wa ICTs katika elimu.
SchoolNet South Africa
SNSA ni mshirika wa muda mrefu wa SNA. SNSA ilikuwa ndio chombo cha uanzishaji wa SNA na kihistoria, imesaidia uanzishaji wa SchoolNet Namibia. SNA hivi karibuni wameshirikiana na SNSA katika upatikanaji wa wakufunzi kutoka nchini Uganda ili kuweza kusaidia katika tovuti ya SNSA. SNSA pia inafanya kazi na SNA kwenye Think Quest Africa kwa kuandaa na kusaidia utoaji huduma wa TQA.
Ghana : ushirikiano wa mtandao katika elimu
SNA inashirikiana na PIE katika kuhamasisha washika dau kitaifa kuanzisha mpango wa SchoolNet unaounganisha SchooNet zote kitaifa. Kwa habari zaiki wasiliana na Eric Yankah [email protected]
SchoolNet Namibia
SNA ilishirikiana na SchoolNet Namibia kwenye mradi wa ICTs katika umuhimu maalum wa elimu. SchoolNet Namibia pia inajihusisha na mradi wa ThinkQuest Africa. Kwa habari zaidi wasiliana na Joris Komen kupitia; [email protected]
|